• 31 januari, 2018
    31 januari, 2018

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Pasipoti Mpya ya Kielektroniki ya Tanzania.

  • 9 Septemba, 2020
    9 Septemba, 2020

    Wasafiri wakipata huduma katika kaunta za uhamiaji, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume -Zanzibar.

  • 09 Disemba, 2021
    09 Disemba, 2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akimvisha Nishani ya Miaka 60 ya Uhuru CGI Dkt. Anna Makakala ikulu Dsm 09 Disemba 2021

  • 09 Disemba,2021
    09 Disemba,2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassa akikagua Gadi ya Uhamiaji wakati wa Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru 09 Disemba 2021 Dsm

  • 12 Januari, 2022
    12 Januari, 2022

    Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt Hussein Mwinyi akikagua gadi ya Uhamiaji wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar  2022

  • 15 Agosti, 2022
    15 Agosti, 2022

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan  akipanda mti wa kumbukumbu katika Chuo cha Uhamiaji cha Rapheal Kubaga kilichopo Boma Kichakamiba mkoani  Tanga. Mhe. Rais alikuwa hapo kwa ajili ya kuzindua chuo hicho pamoja na kufunga mafunzo ya awali kwa askari wa Uhamiaji.

ADA YA HUDUMA ZA PASIPOTI

SN

AINA YA PASIPOTI/HATI

ADA

 

ILIYOOMBWA NCHINI

ILIYOOMBWA NJE YA NCHI

1.

Pasipoti ya Kawaida

150,000 Tsh

90 USD

3.

Pasipoti ya Kiutumishi

150,000 Tsh

90 USD

4.

Pasipoti ya Kidiplomasi

150,000

90 USD

5.

Hati ya Dharura ya Safari

20,000 Tsh

20 USD

 

Certificate of Identity

10,000

N/A

 

Hati ya Safari kwa Wakimbizi

20,000

N/A

 

NB:

Kwa maelezo zaidi kuhusu aina za pasipoti, vigezo na namna ya kuomba tafadhali soma Mwongozo wa huduma za Pasipoti.

MAWASILIANO

Ukiwa na tatizo katika kuomba pasipoti au hati tafadhali wasiliana nasi kupitia baruapepe ifuatayo:

This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. AU This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Dr. Anna P. Makakala

Commissioner General of Immigration

News and Events

KUITWA KWENYE MAFUNZO - MARCH, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia Vijana waliofaulu usaili na kuchaguliwa, kujiunga na Chuo cha Uhamiaji Raphael Kubaga kilichopo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, kuwa wanatakiwa kuripoti tarehe 03 Aprili, 2024...

TAARIFA KWA UMMA 02 April, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana waliochaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji; ambao walitakiwa kuripoti kwenye mafunzo katika Chuo cha Uhamiaji cha Raphael Kubaga kilichopo mkoani Tanga tarehe 03 Aprili,...

« »