Idara ya Uhamiaji inawatangazia vijana wafuatao waliotuma maombi ya nafasi za Ajira kupitia Ofisi ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, kufika kwenye usaili utakaofanyika katika Ukumbi wa Café Theatre 1 & 2 Ndaki (Faculty) ya Biashara na Uchumi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) siku ya Jumamosi tarehe 28 Januari, 2023 saa 1:00 kamili asubuhi.