• 31 januari, 2018
    31 januari, 2018

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Pasipoti Mpya ya Kielektroniki ya Tanzania.

  • 9 Septemba, 2020
    9 Septemba, 2020

    Wasafiri wakipata huduma katika kaunta za uhamiaji, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume -Zanzibar.

  • 09 Disemba, 2021
    09 Disemba, 2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akimvisha Nishani ya Miaka 60 ya Uhuru CGI Dkt. Anna Makakala ikulu Dsm 09 Disemba 2021

  • 09 Disemba,2021
    09 Disemba,2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassa akikagua Gadi ya Uhamiaji wakati wa Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru 09 Disemba 2021 Dsm

  • 12 Januari, 2022
    12 Januari, 2022

    Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt Hussein Mwinyi akikagua gadi ya Uhamiaji wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar  2022

  • 15 Agosti, 2022
    15 Agosti, 2022

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan  akipanda mti wa kumbukumbu katika Chuo cha Uhamiaji cha Rapheal Kubaga kilichopo Boma Kichakamiba mkoani  Tanga. Mhe. Rais alikuwa hapo kwa ajili ya kuzindua chuo hicho pamoja na kufunga mafunzo ya awali kwa askari wa Uhamiaji.

There are three classes of Residence Permits which are Residence Permit Class A, B and C. The fees for these classes and their subsequent sub- categories, as well as fees for nationals from East African Community partner states are provided in the following chart.

RESIDENCE PERMIT CLASS “A” FEES

EAC PERMIT FEE IN CITIZENS

CODE SECTOR/ OCCUPATION USD FEE

A-1 Prospecting and Mining (Investor) 3,000

1,500

A-2 Large scale investments, trade and business 3,000 1,500 including agriculture and animal husbandry

A-3 Prescribed profession and consultancy services 3,000

1,500

A-4 Small scale trade, business, artisanship, fishing, 1,000 500 farming or any legally recognized activity

A-5 Diaspora Investors 1,000

-

RESIDENCE PERMIT CLASS “B” FEES

PERMIT FEE IN
CODE SECTOR/ OCCUPATION USD EAC CITIZENS FEE

B-1 Specific employment by specific employer 2,000 500

B-2 Specific employment by specific employer - 500 (EAC Partner States)

RESIDENCE PERMIT CLASS C

RESIDENCE PERMIT CLASS “C” MATRIX

PERMIT FEE IN EAC
CODE SECTOR/ OCCUPATION USD CITIZENS FEE

C-1 Researchers 500 250

C-2 Retired persons 500 250

C-3 Approved religions activities(missionaries) 200 100

C-4 Winding up affairs 200 100

C-5 Volunteers/Occupational Trainee/Intern 200 100

C-6 Medical Treatment 200 100

C-7 NGO's Employees/Professional Artist 500 250

C-8 Parties and Witnesses in Courts and 500 250 Tribunals/Others

KEYNOTE FOR APPLICANTS OF RESIDENCE PERMIT

Before applying, applicants are required to read Residence Permit Guidelines which is available through this website on the Residence Permit Portal.

CONTACTS

For any inquiries about Residence Permit, kindly contact the following email:

This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Dr. Anna P. Makakala

Commissioner General of Immigration

News and Events

KUITWA KWENYE MAFUNZO - MARCH, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia Vijana waliofaulu usaili na kuchaguliwa, kujiunga na Chuo cha Uhamiaji Raphael Kubaga kilichopo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, kuwa wanatakiwa kuripoti tarehe 03 Aprili, 2024...

TAARIFA KWA UMMA 02 April, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana waliochaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji; ambao walitakiwa kuripoti kwenye mafunzo katika Chuo cha Uhamiaji cha Raphael Kubaga kilichopo mkoani Tanga tarehe 03 Aprili,...

« »